Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Hamza Johari akiwa pamoja na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Uchukuzi wakifuatilia uwasilishwaji wa hotuba ya makadirio ya bajeti ya Wizara ya ya Uchukuzi kwa mwaka 2024/2025 inayowasilishwa na Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa, Bungeni, Dodoma.
More Stories
Rais Samia aomboleza kifo cha Papa Francisko
Papa Francis afariki Jumatatu ya Pasaka akiwa na miaka 88
Kanisa la Shincheonji la Yesu nchini Ufaransa lakanusha ripoti ya Le Parisie