Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Hamza Johari akiwa pamoja na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Uchukuzi wakifuatilia uwasilishwaji wa hotuba ya makadirio ya bajeti ya Wizara ya ya Uchukuzi kwa mwaka 2024/2025 inayowasilishwa na Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa, Bungeni, Dodoma.
More Stories
Kiongozi wa Mwenge awataka RUWASA kukamilisha mradi wa maji kwa wakati Kilindi
Balozi Nchimbi aongoza waombolezaji kumuaga Mzee Mongella
Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua mama yake mzazi