







Matukio mbalimbali katika picha kwenye maadhimisho ya sherehe za miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Sherehe za Muungano hufanyika Aprili 26 ya kila mwaka tangu mwaka 1964 zilipoungana Tanganyika na Zanzibar ambapo mwaka huu zimefanyika Kitaifa katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam.

More Stories
ALAF yaweka rekodi mpya kwenye tuzo za PMAYA
Makamba:Mradi Mpomvu,GGM kuimarisha upatikanaji umeme Geita
Aweka shahada kando,ageuza ngozi kuwa ajira