Matukio mbalimbali katika picha kwenye maadhimisho ya sherehe za miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Sherehe za Muungano hufanyika Aprili 26 ya kila mwaka tangu mwaka 1964 zilipoungana Tanganyika na Zanzibar ambapo mwaka huu zimefanyika Kitaifa katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam.
More Stories
Maadhimisho siku ya nyuki Duniani ni fursa adhimu kiuchumi
NMB ‘yafunga ndoa’ na wanawake wanaomiliki shule, vyuo Tanzania
RC Mwanza afanya ziara ya kikazi katika mradi wa uwekezaji jengo la Hotel ya nyota tano wa NSSF