bunge wa Malinyi Antipas Mgungusi (CCM) akiwa na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa asubuhi ya Leo tarehe 15.04.2024,Bungeni akizungumza naye juu ya hali ya uharibifu wa miundombinu katika Jimbo la Malinyi kutokana na athari za Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na Mto Furuwa.
More Stories
Serikali yatunga sera ya taifa ya mwaka 2024 kupambana na dawa za kulevya
Rais Samia afanya teuzi mbalimbali
Serikali yaishukuru Canada kwa kuendelea kuipa misaada