Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo tarehe 8 Aprili, 2024 anashiriki katika Mdahalo wa Kitaifa wa Kumbukizi ya Miaka 40 ya Hayati Edward Sokoine unaofanyika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kilichopo mkoani Morogoro.
Mada kuu katika mdahalo huo ni “Urithi wa Taifa na Uongozi wake, Bidii, Uadilifu na Uaminifu.”
Viongozi wa serikali na wadau mbalimbali wamehudhuria mdahalo huo.
More Stories
NMB ‘yafunga ndoa’ na wanawake wanaomiliki shule, vyuo Tanzania
RC Mwanza afanya ziara ya kikazi katika mradi wa uwekezaji jengo la Hotel ya nyota tano wa NSSF
Wasichana vinara waiomba serikali kuondoa kodi kwenye taulo za kike