TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Christine Gideon Mwakatobe (Pichani kulia) kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwakatobe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KADCO).
Uteuzi huu unaanza mara moja.
More Stories
Dkt.Yonanzi akutana na uongozi wa TECDEN
Aweso aifagilia EWURA
TANAPA yatinga Zanzibar kuhamasisha upigaji kura hifadhi ya Serengeti, Mlima Kilimanjaro