Na Mwandishi Wetu, timesmajira Online
JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesikitishwa na kifo cha Edward Ngoyai Lowassa, Waziri Mkuu wa zamani aliyefariki dunia Februari 10, mwaka huu jijini Dar es Salaam, katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), alikokuwa anapatiwa matibabu.
More Stories
Nachingwea waanza kuona manufaa vituo vya kudhibiti wanyamapori waharibifu
Ajuza aileza timu ya msaada wa kisheria anavyonyang’anywa urithi kisa kuzaa watoto wa kike
DC Mpogolo awataka wenyeviti wa mitaa kusimamia usafi