Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman akiwa ziarani Nchini Oman, alitoa muhadhara kwenye Sultan Qaboos Higher Centre for Culture and Science, maana yake ikiwa ni Mafungamano yasiyokatika (Enduring Links) kati ya Oman na Zanzibar.
More Stories
Masandawana Fc yajinyakulia mil.10/- Tulia Trust Uyole Cup 2026
EMS yapanua wigo utoaji huduma kidigitali
Maji salama ya wafikia wakazi 22,482