Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman akiwa ziarani Nchini Oman, alitoa muhadhara kwenye Sultan Qaboos Higher Centre for Culture and Science, maana yake ikiwa ni Mafungamano yasiyokatika (Enduring Links) kati ya Oman na Zanzibar.
More Stories
Vijana wahimizwa kulinda amani waonyeshwa fursa
Rais Samia kufungua Mkutano wa TMIC 2026
Watakiwa kumtetea Rais kwa hoja si hisia