Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Christian Makonda, amemtembelea aliyekuwa Mkuu wa Majesho ya Ulinzi na Usalama Nchini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA), Jenerali Venance Mabeyo, nyumbani kwake Dar es salaam leo tarehe 26 Novemba, 2023.



More Stories
TMDA yajivunia kuanzisha mfumo thabiti wa udhibiti wa vifaa tiba na vitendanishi
Kikwete kuungana na marais watatu kushiriki Kongamano la nane la viongozi Afrika
Katavi yazindua kampeni kukabiliana na udumavu