Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Christian Makonda, amemtembelea aliyekuwa Mkuu wa Majesho ya Ulinzi na Usalama Nchini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA), Jenerali Venance Mabeyo, nyumbani kwake Dar es salaam leo tarehe 26 Novemba, 2023.



More Stories
Yas yaja na ‘Anzia Ulipo’ kuhamasisha watanzania kusimamia ndoto zao
Coca-Cola Kwanza kuwanufaisha mama lishe Stendi ya Msamvu Marogoro
Sheikh Ponda akabidhiwa kadi ya heshima ya Maalim Seif