Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi kutoka Stanbic Bank Tanzania (SBT), Omari Mtiga (kulia) akumueleza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuhusu huduma zinazotolewa na benki hiyo ikiwemo mikopo ya kifedha itakayowawezesha wakulima kupata zana za kisasa za kilimo kwa ajili ya kilimo biashara wakati wa maonyesho ya Nane Nane yaliyofanyika kitaifa mkoani Mbeya. Aliyesimama pembeni ya Rais (kushoto) ni Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mheshimiwa Abdallah Ulega akizungumza kwenye banda la Stanbic Bank Tanzania (SBT) mara baada ya kujionea huduma mbalimbali ikiwemo mikopo ya fedha hasa zana za kisasa kwa ajili ya kilimo biashara zinazotolewa na benki hiyo wakati wa maonesho ya Nane Nane mkoani Mbeya. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mheshimiwa Abdallah Ulega (kulia) akizungumza na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi kutoka Stanbic Bank Tanzania (SBT), Omari Mtiga kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na benki hiyo ikiwemo mikopo ya fedha itakayowawezesha wakulima kupata zana za kisasa za kilimo kwa ajili ya kilimo biashara wakati wa maonesho ya Nane Nane mkoani Mbeya. Post Views: 355 Continue Reading Previous Diwani Maanya ajivunia utekelezaji ilani kutokana na Uongozi madhubuti wa Rais SamiaNext Rais Dkt. Samia aipongeza NMB kwa mchango wao katika Sekta ya kilimo More Stories 2 min read Habari Absa Dar City waunga mkono juhudi za Serikali uboreshaji Afya May 15, 2024 Jackline Mkota 3 min read Habari Ndejembi atoa onyo kwa waajiri wasiowasilisha michango ya wafanyakazi wao NSSF May 15, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari PSSSF yawanoa Jeshi la Polisi Tanzania kuwasilisha nyaraka kidijitali May 15, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Absa Dar City waunga mkono juhudi za Serikali uboreshaji Afya
Ndejembi atoa onyo kwa waajiri wasiowasilisha michango ya wafanyakazi wao NSSF
PSSSF yawanoa Jeshi la Polisi Tanzania kuwasilisha nyaraka kidijitali