Waziri Mkuu na Mbunge wa zamani wa Monduli Edward Lowassa pamoja na mkewe Mama Regina Lowassa leo huko Monduli wamekuwa miongoni kwa wana CCM waliyomdhamini Rais John Pombe Magufuli kutetea kiti chake cha urais kupitia CCM katika uchaguzi mkuu baadaye Oktoba mwaka huu.Pichani Mama Regina akitoka saini fomu za udhamini mara baada ya Lowassa kufanya hivyo
More Stories
Watumishi CBE wahimizwa kuishi kwa upendo
Prof.Muhongo awakaribisha wadau kuchangia ujenzi maabara masomo ya Sayansi
Serikali yakaribisha wawekezaji sekta ya madini