Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Muleba Ndugu Elias Mhwago Kayandabila (katikati) akiwa kwenye mazungumzo na Viongozi wa benki ya NMB tawi la Muleba mara baada ya kukabidhiwa zawadi maalum iliyoandaliwa na benki ya hiyo.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Muleba Ndugu Elias Mhwago Kayandabila akikabidhiwa zawadi maalum iliyoandaliwa na benki ya NMB na Meneja Lukanga Makusu (kushoto) wa Tawi la NMB Muleba
More Stories
Kiongozi wa Mwenge awataka RUWASA kukamilisha mradi wa maji kwa wakati Kilindi
Balozi Nchimbi aongoza waombolezaji kumuaga Mzee Mongella
Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua mama yake mzazi