Na Mwandishi Wetu,
Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Muadhama Polycarp Kardinali Pengo leo Machi 16, 2023 amezuru kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano HAYATI Dkt. John Pombe Joseph Magufuli nyumbani kwa marehemu kijijini Chato, mkoani Geita. Kardinali Pengo, aliyeongozana na Askofu wa Jimbo Katoliki Geita, Dkt. Flavian Kassala na viongozi wengine wa dini wa Geita, alipokelewa na mjane wa Marehemu Mama Janeth Magufuli na wanafamilia.



More Stories
Lushoto watakiwa kumuunga mkono Rais Samia kuimarisha elimu
Zaidi ya bilioni 100 zatolewa kwa ajili ya madaraja 13,Lindi
Serikali kupeleka milioni 100 kwa ajili ya kituo cha afya Saranga