Na Mwandishi Wetu,
Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Muadhama Polycarp Kardinali Pengo leo Machi 16, 2023 amezuru kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano HAYATI Dkt. John Pombe Joseph Magufuli nyumbani kwa marehemu kijijini Chato, mkoani Geita. Kardinali Pengo, aliyeongozana na Askofu wa Jimbo Katoliki Geita, Dkt. Flavian Kassala na viongozi wengine wa dini wa Geita, alipokelewa na mjane wa Marehemu Mama Janeth Magufuli na wanafamilia.
More Stories
Maadhimisho siku ya nyuki Duniani ni fursa adhimu kiuchumi
NMB ‘yafunga ndoa’ na wanawake wanaomiliki shule, vyuo Tanzania
RC Mwanza afanya ziara ya kikazi katika mradi wa uwekezaji jengo la Hotel ya nyota tano wa NSSF