Na Mary Margwe, TimesMajira Online, Mbulu
Kufuatia kumbukizi hiyo, wananchi wa Mji wa Mbulu, watumishi pamoja na Mkoa kiujumla wamemtakia Mkurugenzi Myenzi maisha marefu yenye upendo, furaha na Amani, ili aweze kuendelea kuwatumikia kikamilifu wananchi wa Mji wa Mbulu.
Hata hivyo mmoja wa wananchi hao Juma Hitler alisema Mkurugenzi huyo amekua ni chachu kubwa ya maendeleo katika Halmashauri hiyo Toka alivyohamia Mbulu akitokea Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, hivyo wanampongeza Kwa kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa Kwa kumtakia maisha marefu huku wakimuombea ili aweze kuendelea kuwatumikia vema wananchi hao na hatimaye kuweza kutumiza malengo aliyokusudia Kwa wananchi wa Mbulu Mjini.
More Stories
Vyombo vya ulinzi na usalama Mbeya,Benki kuu kushirikiana kutatua changamoto za utapeli mtandaoni
Polisi Mbeya kuimarisha ulinzi kuelekea sikukuu ya Pasaka
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an