Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa alipotembelea banda la shirika la Amref Tanzania katika viwanja vya Ilulu mkoani Lindi, katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani. Kwa miaka zaidi ya thelathini (30) sasa, shirika la Amref limekuwa likishirikiana na serikali ya Tanzania pamoja na wadau ikiwemo PEPFAR-CDC, USAID pamoja na Global Fund.
More Stories
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an
Chalamila:Dar ni salama,aelezea mafanikio na mipango ya maendeleo ya Mkoa
Ulaji vyakula vya aina moja,umri vyatajwa ongozeko la matatizo ya macho Mbeya