Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
Kuelekea kilele cha Simba Day Agosti 8 mwaka huu katika uwanja wa Benjamin Mkapa Simba Sc imemtambulisha rasmi staa Nelson Okwa kuwa katika klabu hiyo.

Mchezaji huyo raia wa Nigeria akitokea klabu ya River United ya Nigeria anayecheza nafasi ya kiungo amesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili na klabu hiyo.

More Stories
Timu 20 kushiriki Mwijage Cup
Wateja Kampeni ‘Kila muamala bao la ushindi’ vicheko
Kampeni ‘Kila muamala bao laushindi’ yazinduliwa Zanzibar