Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
Kuelekea kilele cha Simba Day Agosti 8 mwaka huu katika uwanja wa Benjamin Mkapa Simba Sc imemtambulisha rasmi staa Nelson Okwa kuwa katika klabu hiyo.

Mchezaji huyo raia wa Nigeria akitokea klabu ya River United ya Nigeria anayecheza nafasi ya kiungo amesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili na klabu hiyo.
More Stories
Bahati Nasibu ya Taifa, Selcom zashirikiana ununuzi wa tiketi
Bahati Nasibu ya Taifa, Vodacom zashirikiana kurahisisha miamala kidijitali
Bahati Nasibu ya Taifa, Shirika la Posta washirikiana