Vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la TUDARCo katika picha ya pamoja na baadhi ya wauguzi kwenye wodi ya akinamama walipotembelea hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala iliyopo Jijini Dar es salaam na kutoa msaada wa vifaa tiba kwa wagonjwa waliolazwa katika wodi ya kina Mama hospitalini hapo Picha na Erika Kyomo TUDARCo Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB),Saddy Kambona wa kwanza kulia akizungumza na wanafunzi kutoka chuo kikuu kishiriki cha Tumaini Dar es Salaam juu ya umuhimu wa kilimo cha zao la mkonge katika kukuza pato la Taifa walipo tembelea Ofisi ya bodi ya mkonge Jijini Tanga.Picha na Mary Arthur, TUDARCo. Vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la TUDARCo katika picha ya pamoja baada ya kutembelea hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala iliyopo Jijini Dar es salaam na kutoa msaada wa vifaa tiba kwa wagonjwa waliolazwa katika wodi ya kina Mama hospitalini hapo.Picha Na.William Bukholi, TUDARCo Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB),Saddy Kambona akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi kutoka chuo kikuu kishiriki cha Tumaini Dar es Salaam walipo tembelea Ofisi ya bodi ya mkonge Jijini Tanga kujifunza juu ya umuhimu wa zao la mkonge katika uchumi wa Nchi.Picha na Rhoda Kivugo TUDARCo Post Views: 383 Continue Reading Previous Tamasha la Hip Hop Asili 2022 kuwakutanisha wasanii wa ndani na nje ya nchiNext Elimu ya umuhimu wa chanjo ya uviko-19 ilivyosaidi watu kujitokeza kuchanja More Stories 3 min read Habari NMB ‘yafunga ndoa’ na wanawake wanaomiliki shule, vyuo Tanzania May 18, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari RC Mwanza afanya ziara ya kikazi katika mradi wa uwekezaji jengo la Hotel ya nyota tano wa NSSF May 18, 2024 Jackline Mkota 3 min read Habari Wasichana vinara waiomba serikali kuondoa kodi kwenye taulo za kike May 18, 2024 Judith Ferdnand
More Stories
NMB ‘yafunga ndoa’ na wanawake wanaomiliki shule, vyuo Tanzania
RC Mwanza afanya ziara ya kikazi katika mradi wa uwekezaji jengo la Hotel ya nyota tano wa NSSF
Wasichana vinara waiomba serikali kuondoa kodi kwenye taulo za kike