Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Seriel Mchembe leo Mei 30 amepokea Mwenge wa Uhuru 2022, kijijini Kwa msisi Wilayani humo.
Ambapo amesema Mwenge ukiwa wilayani humo utazindua, kuweka mawe ya msingi na kukagua jumla ya miradi 8 yenye thamani ya Tshs Bilioni 2.2.
More Stories
Kwanini kila taasisi inapaswa kuchangia mapato yasiyo ya kodi
Mtwange:Mradi wa kuzalisha umeme wa jua Kishapu wafikia asilimia 63.3
Ussi awataka wananchi Handeni kulinda miundombinu ya maji