Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Seriel Mchembe leo Mei 30 amepokea Mwenge wa Uhuru 2022, kijijini Kwa msisi Wilayani humo.
Ambapo amesema Mwenge ukiwa wilayani humo utazindua, kuweka mawe ya msingi na kukagua jumla ya miradi 8 yenye thamani ya Tshs Bilioni 2.2.
More Stories
Papa Francis afariki Jumatatu ya Pasaka akiwa na miaka 88
Kanisa la Shincheonji la Yesu nchini Ufaransa lakanusha ripoti ya Le Parisie
Vyombo vya ulinzi na usalama Mbeya,Benki kuu kushirikiana kutatua changamoto za utapeli mtandaoni