Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hasabu za Serikali za Mitaa baada ya kukagua ujenzi wa jengo la Makao makuu ya Halmashauri ya Msalala ,wilayani Kahama.Makamu mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hasabu za Serikali za Mitaa ,Selaman Zedi akiongea n waandashi habari baada ya kamati kumaliza kukagua miradi ya ujenzi wa majengo ya makao makuu ya halmashauri ya Msalala na hospitali ya kuu ya halmashauri hiyo kulia ni mkuu wa mkoa wa Shinyanga ,Sophia Mjema na kulia ni Mjumbe wa Kamati Rashid Shangazi mbunge wa Mlalo.
More Stories
Airtel  yaimarisha ushirikiano  wa Airtel Business Monthly Mug TournamentÂ
GF yaahidi kuendelea kuunga mkono maono ya Serikali
Mwanasheria Mkuu wa Serikali awataka TPBA kuwa wabunifu