[Waziri wa Viwanda na Biashara, Prof Kitila Mkumbo (aliyesimama katikati) akimsikiliza Meneja uzalishaji wa Kiwanda Cha KMTC kilichoko Moshi, Hamisi Hango (Mwenye fulana nyeusi) juu ya mashine mbalimbali zinazotengenezwa na Kiwanda hicho kilichopo chini ya Shirika la Taifa la Maendeleo NDC Katika Maonesho ya Sabasaba yanayoendelea Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam jana. Na mpiga picha wtu
More Stories
Washindi ‘kila muamala bao la ushindi’ waendelea kupeta
TMA yaeleza faida taarifa hali ya hewa
Wananchi wapata elimu ubora,usalama na bidhaa