Na Mwandishi wetu,TimesMajira,Online
CHAMA cha ACT-Wazalendo kinatarajia kuzindua kampeni zake za uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata ya Mbagala kuu.
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Act-wazalendo, Zitto Kabwe anatarajia kuzindua kampeni hizo,leo katika viwanja vya kibasila mtaa wa Mbagala Kuu Kaskazini kuanzia majira ya saa nane mchana.
Uchaguzi huo unafanyika katika kata hiyo baada ya Aliyekuwa Diwani kata ya Mbagala Kuu Shabani Othman Abubakari (CCM)Â kufariki dunia.

More Stories
Bilioni 7 kuwainua vijana 308 sekta ya uvuvi
Clara:Miaka 50 ya Sabasaba fursa mpya za Biashara na Uwekezaji
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako