Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
MKONGWE wa Tasnia ya maigizo nchini Mohammed Fungafunga maarufu kama Mzee Jengua amefariki dunia asubuhi leo Desemba 15,mwaka huu, huko Mkuranga, mkoani Pwani.

Marehemu alikua akisumbuliwa na Maradhi ya Kupararaizi.
Enzi za uhai wake, Mzee Jengua alikua akiigiza Maigizo kama vile Kidedea, Handsome wa Kijiji, Kashinde na zingine nyingi.
Mungu aiweke roho yake mahala pema
More Stories
Simbachawene:Mfumo wa Tathmini ya Mahitaji Rasilimaliwatu umebaini upungufu wa watumishi 441,366
Wakazi Arusha watakiwa kuchangamkia fursa huduma jumuishi za kifedha
Wahitimu wa Mafunzo ya Scout Nkasi watakiwa kuwa mwangaza kwa vijana