July 12, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Prof. Rasheli apongeza shughuli za REA Sabasaba 2026

Na Mwandishi wetu,Timesmajira

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Prof. Geraldine Rasheli leo tarehe 11 Julai 2026 ametembelea banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwenye maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. J. K Nyerere