Na.Mwandishi wetu,Timesmajira
Katika siku ya nane ya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama SabaSaba, yanayoendelea jijini Dar es Salaam, Wakala wa Vipimo (WMA) imeendeleza mkakati wake wa kuwatembelea wajasiriamali na kuwapatia elimu kuhusu matumizi sahihi ya vipimo.
Zoezi la utoaji elimu ya vipimo kwa wajasiriamali linaenda sambamba na kuhudumia wadau mbalimbali wanaotembelea banda la WMA katika Maonesho hayo ya SabaSaba.
Lengo ni kuhakikisha elimu na huduma mbalimbali za ki-vipimo zinafikishwa kwa wadau wengi kadri iwezekanavyo.


More Stories
Fkt:Mambo mazuri yapo banda la Waziri Mkuu
Mahundi afichua nguzo Muhimu kwa familia imara
Polisi Mbeya yakamata wanachuo wanne kuhamasisha vurugu