Ofisa Utafiti wa Taasisi ya Chanjo Kibaa (TVI) iliyopo chini ya Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) Dkt. Siha Mdemu, akiwaonesha na kuwaeleza wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari hatua mbalimbali za uandaaji chanjo ya homa ya mapafu ya ng’ombe. Wahariri hao walitembelea maabara hiyo iliyopo Kibaha, Pwani mwishoni mwa wiki. Aliyekaa chini ni Fundi Sanifu Mwandamizi wa Maabara hiyo, Mark. Na mpiga picha wetu. Dkt. Siha Mdemu (kushoto) akiwa na Fundi Sanifu Mwandamizi wa maabara hiyo, Emanuela Joseph wakiwa kwenye mchakati wa kutengeneza chanjo ya homa ya mapafu ya ng’ombe.. Fundi Sanifu wa Maabara wa Taasisi ya Chanjo Kibaa (Marystella Justine akiweka kwenye vifungashio akitumia mashine maalum kwenye chupa maalum zenye chanjo ya ugonjwa wa mdondo kwa ajili ya kuku. Mtaalam wa maabara akiwa kwenye mchakato wa awali wa kutengeneza chanjo ya ugonjwa wa mdondo wa kuku. Mtaalam akiendelea kuandaa chanko Get Started Post Views: 1,518 Continue Reading Previous Kubenea: Nichagueni nikasimamie maslahi ya wanyongeNext Dkt. Mwiny ateta na viongozi wa dini, awaahidi kutokomeza ubagizi Z’bar More Stories 2 min read Habari Kitaifa JKT laita vijana wa kujitolea,latahadharisha wananchi dhidi ya matapeli September 25, 2024 joyce kasiki 2 min read Habari Kitaifa CCM yapongeza hotuba ya Rais Samia September 21, 2024 joyce kasiki 2 min read Habari Kitaifa Viongozi vyama vya siasa watakiwa kutoingilia mchakato uboreshaji daftari la mpiga kura September 13, 2024 joyce kasiki
More Stories
JKT laita vijana wa kujitolea,latahadharisha wananchi dhidi ya matapeli
CCM yapongeza hotuba ya Rais Samia
Viongozi vyama vya siasa watakiwa kutoingilia mchakato uboreshaji daftari la mpiga kura