April 23, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Tanzania iko tayari kwa uwekezaji kilimo ikolojia hai

Na Mwandishi wetu,Timesmajira

Shirika la Kuendeleza Kilimo Hai Tanzania (TOAM) na Mamlaka ya Uwekezaji Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), wanaongoza ujumbe wa kibiashara katika maonesho ya kimataifa ya biashara ya bidhaa za kilimo hai (BIOFACH 2026) wakiongozwa na mkakati wa Taifa wa Kilimo Ikolojia Hai (NEOAS 2023.2030) na kuendana na ajenda 2030.