Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Samia Suluhu Hassan,amemteua Tido Mhando kuwa Mshauri wa Rais, Habari na Mawasiliano.
Taarifa iliotolewa leo Novemba 19,2025 na ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Dkt.Moses M. Kusiluka,imesema mbali na Tido,pia Rais Dkt.Samia amemteua
Bakari Machumu, ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu.
Machumu anachukua nafasi Sharifa Bakari Nyanga ambaye amepangiwa majukumu mengine.
Pia amemteua Lazaro Samuel Nyalandu kuwa Balozi.

More Stories
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako
TTCL yaadhimisha siku ya Wanawake kwa kutoa msaada JKCI
Wananchi Dodoma washauri TBA kujenga nyumba za kupangisha watu binafsi