Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Jenista Mhagama (katikati) akizungumza na mdau aliyetembelea banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), kwa ajili ya kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa na mfuko huo katika Maonesho hayo ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es salaam.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Jenista Mhagama akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), CPA. Hosea Kashimba (kulia) na Mkurugenzi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Masha Mshomba.
Mkurugenzi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Masha Mshomba (katikati) akieleza jambo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Jenista Mhagama. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), CPA. Hosea Kashimba.
More Stories
Kamishina TRA avitaka Viwanda viwili Mkuranga kulipa kodi inayostahili
Jimbo la Kibakwe wafanya ibada kuiombea nchi na viongozi wake
Naibu Meya Masaburi apewa uanachama wa heshima umoja wa LITONGO