Na Mwandishi wetu, timesmajira
Wananachi wa Jimbo la Mbalali wamejitokeza kwa wingi kwenye vituo vya kupiga kura kwaajili ya kushiriki uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo hilo na udiwani wa Kata sita za Tanzania Bara ambao unafanyika leo.
Takribani wapigakura 216,282 walioandikishwa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura wanapiga kura leo.
Ambapo uchaguzi utahusisha vituo 580 vya kupiga kura na uchaguzi huo unaendelea kwa amani na utulivu katika maeneo hayo.
More Stories
Waumini Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki wamlilia Rais Dkt.Samia
Waumini K.K.A.M watoa kilio chao kwa Rais Samia
PPAA yazuia zabuni zenye thamani ya bilioni 583