Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema tuzo ya heshima ya kutambua mchango wake kwa wadogo anaipeleka kwa Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa yeye ana utashi wa kisiasa ya kutaka kuona sekta ya uzalishaji inasonga mbele.
Ulega amesema hayo kwenye Mkutano wa Wavuvi Wadogo Afrika uliofanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Juni 5-7,2024.

Mapema leo katika mkutano huo, Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Afrika linaloshughulikia Tafiti, Haki za Wanyama na sekta ya Uvuvi (AU-IBAR), Bi. Hellen Guebama alimkabidhi tuzo Waziri Ulega ikiwa ni ishara ya kumpa heshima na kutambua mchango wake kwenye shughuli za uvuvi mdogo nchini.
More Stories
Kanisa la Shincheonji la Yesu nchini Ufaransa lakanusha ripoti ya Le Parisie
Vyombo vya ulinzi na usalama Mbeya,Benki kuu kushirikiana kutatua changamoto za utapeli mtandaoni
Polisi Mbeya kuimarisha ulinzi kuelekea sikukuu ya Pasaka