Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wameungana na wafanyakazi wengine Duniani kushiriki katika maadhimisho Ya siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI MOSI) ambayo kitaifa yamefanyika Jijini Arusha ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Philip Mpango.
Maadhimisho haya yamepambwa na kauli mbiu isemayo “Nyongeza ya mishahara ni msingi wa mafao bora na kinga dhidi ya hali ngumu ya maisha”.




More Stories
TAMWA yakumbusha jamii kupinga ukatili wa kijinsia kuelekea siku ta wanawake Duniani
Wanawake washauriwa kuchangamkia fursa za uchumi
Aida:Wanawake wakipata haki zote itapunguza migogoro