Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Maafisa Fatuma Mapunda na Eliabu Rwabiyago kutoka Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TanTrade) wapokea msafara wa wafanyabiashara kutoka Nchini Uturuki ikiwa na uwakilishi wa makampuni zaidi 31.
Msafara huo ni mahususi kwa ajili ya kuangalia fursa za kibiashara Nchini Tanzania Katika sekta mbalimbali kama Matunda na mbogamboga, Ujenzi, Ngozi, Mavazi, Bidhaa za misitu, vipuri vya magari, zana za kilimo.




More Stories
Pinda:Vijana tumieni fursa kupata maarifa ya ufundi stadi
Pinda aipongeza VETA kwa hatua iliyopiga miaka 30
Diwani ajivunia utekelezaji miradi 45 Kata ya KayenzeÂ