Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Maafisa Fatuma Mapunda na Eliabu Rwabiyago kutoka Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TanTrade) wapokea msafara wa wafanyabiashara kutoka Nchini Uturuki ikiwa na uwakilishi wa makampuni zaidi 31.
Msafara huo ni mahususi kwa ajili ya kuangalia fursa za kibiashara Nchini Tanzania Katika sekta mbalimbali kama Matunda na mbogamboga, Ujenzi, Ngozi, Mavazi, Bidhaa za misitu, vipuri vya magari, zana za kilimo.





More Stories
Madarasa 72 mapya kujengwa Ilemela
TAMWA yakumbusha jamii kupinga ukatili wa kijinsia kuelekea siku ya wanawake Duniani
Wanawake washauriwa kuchangamkia fursa za uchumi