Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Maafisa Fatuma Mapunda na Eliabu Rwabiyago kutoka Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TanTrade) wapokea msafara wa wafanyabiashara kutoka Nchini Uturuki ikiwa na uwakilishi wa makampuni zaidi 31.
Msafara huo ni mahususi kwa ajili ya kuangalia fursa za kibiashara Nchini Tanzania Katika sekta mbalimbali kama Matunda na mbogamboga, Ujenzi, Ngozi, Mavazi, Bidhaa za misitu, vipuri vya magari, zana za kilimo.




More Stories
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ashiriki ziara ya tume ya utumishi wa mahakama
Coca-Cola ‘chupa la machupa’ yapeleka ladha mpya Forodhani, Zanzibar
Prof.Mkenda:Elimu ya biashara somo la lazima kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne