
Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Limited kupitia kampeni yake inayoendelea ya INAWEZEKANA mwishoni mwa wiki ikiwa Mkoani Kilimanjaro, imetoa elimu juu ya matumizi sahihi ya pombe ambayo inajumuisha unywaji wa kiasi, kunywa maji na kula chakula sambamba utumiapo vilevi pamoja na kupinga uendeshaji wa vyombo vya moto endapo umetumia kilevi.
Kampuni ya Serengeti inatoa rai kwa jamii kuchukua hatua kupinga matumizi mabaya ya vilevi na kuhamasisha kila mmoja kuwa balozi wa kunywa kistaarabu.




More Stories
Wataalamu wa ujenzi mfumo wa NeST wanolewa usalama wa mifumo
Mkurugenzi Rapha Group aeleza fursa mashindano Tulia Marathoni
Prof.Muhongo amshukuru Rais Samia kwa fedha nyingi miradi ya elimu Musoma Vijijini