Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Jijini Dar es Salaam wakati akitokea Umoja wa Falme za Kiarabu UAE leo tarehe 28 Februari, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Jijini Dar es Salaam wakati akitokea Umoja wa Falme za Kiarabu UAE leo tarehe 28 Februari, 2022. Post Views: 659 Continue Reading Previous Mradi wa usalama barabarani kwa shule za msingi za serikali wazinduliwaNext Serikali yaondoa Tozo ya Shilingi 100/- kwa kila lita ya Dizeli, Petroli na Mafuta ya Taa More Stories Habari Rais Samia azitaka Wizara husika kusimamia sera ya elimu February 1, 2025 zena chitwanga Habari Serikali yaboresha sekta ya elimu Ulyankulu February 1, 2025 Judith Ferdnand Habari Sababu za matukio ya ukatili zatajwa February 1, 2025 Judith Ferdnand
More Stories
Rais Samia azitaka Wizara husika kusimamia sera ya elimu
Serikali yaboresha sekta ya elimu Ulyankulu
Sababu za matukio ya ukatili zatajwa