Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na baadhi ya Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) mara baada kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) mara baada mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam.
More Stories
Mahundi atembelea majeruhi wa ajali Mbeya
Jukwaa la usafiri Mtandaoni linavyotoa punguzo kwa abiria
Mbuja :Waliyoyapambania Wanawake wenzetu matunda yake tunayaona