Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano Mkuu wa mwaka wa Jukwaa la Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki mwa Afrika (SEACJF) uliofanyika Mkoani Arusha leo October 23,2023.
Mkutano huo umehusisha Majaji Wakuu wa Nchi wanachama wa jukwaa hilo ikiwemo Kenya,Uganda,Namibia, Zimbabwe,Eswatini, Msumbiji,Seychelles, Botswana,Angola, Zanzibar, Malawi, Lesotho, Mauritius, Zambia na Afrika ya Kusini.







More Stories
Ussi awataka wananchi Handeni kulinda miundombinu ya maji
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini
Daraja la J.P.Magufuli kuzinduliwa Juni 19,2025