Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mapema leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Mgombea Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Daniel Fransisco Chapo Ikulu Mkoani Dodoma.

Uhusiano wa Tanzania na Msumbiji ni wa miaka na mikaka Serikali zote mbili ni marafiki kupitia vyama vya Ukombozi FRELIMO na TANU sasa CCM.
More Stories
Vyombo vya ulinzi na usalama Mbeya,Benki kuu kushirikiana kutatua changamoto za utapeli mtandaoni
Polisi Mbeya kuimarisha ulinzi kuelekea sikukuu ya Pasaka
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an