Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mapema leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Mgombea Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Daniel Fransisco Chapo Ikulu Mkoani Dodoma.
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2024/06/IMG-20240612-WA0537-2-1024x650.jpg)
Uhusiano wa Tanzania na Msumbiji ni wa miaka na mikaka Serikali zote mbili ni marafiki kupitia vyama vya Ukombozi FRELIMO na TANU sasa CCM.
More Stories
Serikali ipo kwenye maandalizi ya TASAF III,ambao hawajainuka kiuchumi TASAF II kupewa kipaumbele
DC Kilindi ataka jitihada ziongezwe makusanyo mapato ya ndani
Bil.51 zachochea kasi ya maendeleo Manispaa Tabora