Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu Katoliki la Tabora Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa mara baada ya kuwasili katika Makazi yake Uaskofuni Mkoani Tabora tarehe 18 Oktoba, 2023.
Rais Samia alifika katika Makazi ya Baba Askofu Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa kwa ajili ya kumpongeza.










More Stories
AI Spam Filter na Usalama wa Data Zako
Bodi ya Ithibati yasisitiza Waandishi wa Habari kuweka vyeti vya kitaaluma katika mfumo wa Tai-Habari
REA yahamasisha wananchi kutumia Mkaa Mbadala