Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimskiliza Mwanasiasa Mkongwe na Muasisi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Bi.Asha Simba Makwega alipofika nyumbani kwake Kilimani,Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo alipofika kumjulia hali.[Picha na Ikulu]Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo alipokuwa akitoa agizo kwa Katibu wa Mufti Mkuu Zanzibar Sheikh Khalid Ali Mfaume mara baada ya swala ya Ijumaa pamoja na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Masjid Jamiu Zinjibar,Mazizini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leoRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisisitiza jambo alipofuatana na Katibu wa Mufti Mkuu Zanzibar Sheikh Khalid Ali Mfaume (kushoto) mara baada ya swala ya Ijumaa pamoja na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Masjid Jamiu Zinjibar,Mazizini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo.
More Stories
Fedha za Mfuko wa Jimbo ziingizwe kwenye mfumo wa NeST
Dkt.Biteko awataka wanawake kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
Biteko: Afrika tunayapa kipaumbele matumizi Nishati Safi kukabiliana mabadiliko ya Tabia nchi