Na Waandishi Wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.John Magufuli amesema kuwa ataendelea kuwaamini wanawake katika nafasi mbalimbali za uongozi wake.
Ameyasema hayo leo bungeni jijini Dodoma wakati akihutubia mkutano wa kwanza wa Bunge la 12.
”Nipende kuwambia wanawake Serikali yangu itaendelea kuwaamini na kuwapa nafasi mbalimbali za uongozi maana nimeona mnavyochapa kazi ndio maana hata Makamu wa Rais ni Mwanamke,”amesema Rais Magufuli.
More Stories
Mtwange:Mradi wa kuzalisha umeme wa jua Kishapu wafikia asilimia 63.3
Ussi awataka wananchi Handeni kulinda miundombinu ya maji
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini