Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akichangia moja ya mada katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu (Africa Heads of State Human Capital Summit) uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Julai, 2023. Viongozi mbalimbali kutoka ndani na Nje ya Tanzania wakiwa kwenye ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere (JNICC) kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu (Africa Heads of State Human Capital Summit) uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Julai, 2023. Rais wa Kenya Mhe. William Ruto pamoja na Rais wa Malawi Mhe. Dkt. Lazarus Chakwera wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu (Africa Heads of State Human Capital Summit) uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Julai, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya kumbukumbu na Rais wa Kenya Mhe. William Ruto, Rais wa Malawi Mhe. Dkt. Lazarus Chakwera, Rais wa Madagascar Mhe. Andry Rajoelina, Rais wa São Tomé na Principe Mhe. Carlos Vila Nova pamoja na Rais wa Sierra Leone Mhe. Julius Maada Bio wakati wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu (Africa Heads of State Human Capital Summit) uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JINCC) Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Julai, 2023. Post Views: 273 Continue Reading Previous WanaCCM watahadharishwa mchezo mchafu wa kuichafua serikaliNext Matukio katika picha, mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu More Stories Habari PURA yaendelea kunadi vitalu 26 vya gesi asilia,mafuta March 6, 2025 Penina Malundo Habari Wanawake wametakiwa kuhakikisha wanampa kura za heshima March 5, 2025 Penina Malundo Habari Maadhimisho miaka 30 ya VETA kufanyika Dar March 5, 2025 zena chitwanga
More Stories
PURA yaendelea kunadi vitalu 26 vya gesi asilia,mafuta
Wanawake wametakiwa kuhakikisha wanampa kura za heshima
Maadhimisho miaka 30 ya VETA kufanyika Dar