Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeendelea kutoa elimu kwa Umma kuhusu majukumu, malengo na mafanikio ya Mamlaka hiyo hususan kuanzishwa kwa Moduli ya usimamizi wa malalamiko na rufaa kwa njia ya kieletroniki. Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa (Nane Nane), yanayoendelea Jijini Dodoma yalianza tarehe 01 – 10 Agosti, 2024. Banda la PPAA liko katika banda kuu la Wizara ya Fedha.
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2024/08/a3d4a739-3406-40fc-8f9d-94b543da4f73-1024x705.jpeg)
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2024/08/c5e6cc8e-f2d1-46ac-aced-615856745d63-1024x683.jpeg)
More Stories
Mavunde:Serikali yachukua hatua kuongeza upatikanaji wa dhahabu ghafi GGR
RC Chongolo awataka bodaboda kutotumika kwa uhalifu,awafadhili 26 mafunzo ya leseni
Benki ya NMB yahudhuria Mkutano wa CSSC