Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeendelea kutoa elimu kwa Umma kuhusu majukumu, malengo na mafanikio ya Mamlaka hiyo hususan kuanzishwa kwa Moduli ya usimamizi wa malalamiko na rufaa kwa njia ya kieletroniki. Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa (Nane Nane), yanayoendelea Jijini Dodoma yalianza tarehe 01 – 10 Agosti, 2024. Banda la PPAA liko katika banda kuu la Wizara ya Fedha.


More Stories
PAC yapongeza ujenzi nyumba 109 kwa waathirika wa maporomoko Hanang’
Rais Samia ataka watakao kwamisha huduma za ardhi kuchukuliwa hatua
Kapinga : Ni maono ya Dkt.Samia wananchi wote wapate umeme