Na Mwandishi wetu, Timesmajira
Mgombea wa Urais Zanzibar kupitia ACT Wazalendo Othman Masoud Othman leo amezindua Timu OMO kupitia Ngome za Vijana 100, Wazee 20 na ngome wa Wanawake 50 kila Jimbo ambao watasimamia ushindi wake, shuhuli hiyo imefanyika katika Ukumbi wavPica Dil kombeni Mkoa wa Mjini Unguja





More Stories
TAMWA yakumbusha jamii kupinga ukatili wa kijinsia kuelekea siku ta wanawake Duniani
Wanawake washauriwa kuchangamkia fursa za uchumi
Aida:Wanawake wakipata haki zote itapunguza migogoro