Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Gavana wa Benki Kuu Tanzania Emmanuel Tutuba akimkaribisha Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya Access Afrika Oluseyi Kumapayi wakati alipofanya ziara ya kazi Jijini Dar es Salaam hapo jana. Hivi karibuni, benki ya Access ilitangaza kukamilisha utaratibu wa kuinunua African Banking Corporation (Tanzania) Limited (“BancABC Tanzania” au “BancABC”), ikiwa ni hatua ya kimkakati ya kuifanyaa Tanzania kuwa kiungo kwa biashara za ndani na nje ya Africa hususani Africa Mashariki. Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Emmanuel Tutuba ( wa nne kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya Access Afrika Oluseyi Kumapayi ( wa nne kushoto) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa BancABC Tanzania Imani John wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa BoT na BancABC mara baada ya kufanya ziara ya kikazi kwenye ofisi za BoT hapo jana. Hivi karibuni, benki ya Access ilitangaza kukamilisha utaratibu wa kuinunua African Banking Corporation (Tanzania) Limited (“BancABC Tanzania” au “BancABC”), ikiwa ni hatua ya kimkakati ya kuifanyaa Tanzania kuwa kiungo kwa biashara za ndani na nje ya Africa hususani Africa Mashariki. Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Emmanuel Tutuba (katikati) akimsikiliza kwa makini Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya Access Afrika Oluseyi Kumapayi wakati alipofanya ziara ya kikazi kwenye ofisi za BoT Jijini Dar es Salaam hapo jana. Hivi karibuni, benki ya Access ilitangaza kukamilisha utaratibu wa kuinunua African Banking Corporation (Tanzania) Limited (“BancABC Tanzania” au “BancABC”), ikiwa ni hatua ya kimkakati ya kuifanyaa Tanzania kuwa kiungo kwa biashara za ndani na nje ya Africa hususani Africa Mashariki.. Kulia ni Naibu Gavana wa BoT Sauda Msemo. Post Views: 85 Continue Reading Previous Watumishi wa afya Pangani watakiwa kutanguliza utuNext Polisi yawatoa hofu wanaofungua maduka yao More Stories 1 min read Habari Ujenzi kituo cha kupokea,kupoza umeme wafikia asilimia 50 September 28, 2024 Judith Ferdnand 3 min read Habari Wananchi,Viongozi Musoma vijijini waishukuru serikali ujenzi miradi ya maji September 28, 2024 zena chitwanga 3 min read Habari Waomba fomu zenye maandishi ya nukta nundu September 28, 2024 Judith Ferdnand
More Stories
Ujenzi kituo cha kupokea,kupoza umeme wafikia asilimia 50
Wananchi,Viongozi Musoma vijijini waishukuru serikali ujenzi miradi ya maji
Waomba fomu zenye maandishi ya nukta nundu