Na Heri Shaaban, TimesMajira Online, Ilala
Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar aes Salaam Ojambi Masaburi Leo Octoba 31 /2022 amefanya ziara Kata ya Pugu Stesheni Bangulo katika mgogoro wa Urasimishaji chini ya Mipango Miji.

Aidha pia katika ziara hiyo MH,Masaburi ametatua kero ya Madarasa mapya ,ambapo Halmashauri wapo katika mchakato wa Ujenzi wameshatenga fedha za Ujenzi ,fedha zipo akaunti ya Kata .

More Stories
ZOLA yajipanga kupeleka Nishati Safi kwa Watanzania, yaunga Mkono Juhudi za Rais Samia
Kiongozi wa Mwenge awataka RUWASA kukamilisha mradi wa maji kwa wakati Kilindi
Balozi Nchimbi aongoza waombolezaji kumuaga Mzee Mongella