



Dar Es Salaam
NYOTA wa zamani wa Klabu ya Manchester United, Rio Gavin Ferdinand amewasili hapa nchini Tanzania Jumanne 19 Mei,2026 huku wananchi wakijitokeza kumlaki.
Mchezaji huyo (mstaafu) aliyechezea timu ya Taifa ya Uingereza na alijibebea umaarufu mkubwa alipoichezea Manchester United kwa miaka 12 akiwa Mlinzi wa Kati na Nahodha wa Timu hiyo bora nchini Uingereza ameingia nchini kwa mwaliko wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Paul Christian Makonda.

More Stories
Mwalimu auawa akizuia mifugo kupitia eneo la shule
Polisi Mbalizi wachangia damu kuimarisha huduma za afya
Mafuru akabidhiwa rasmi ofisi ya TANTRADE