Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt.John Jingu akizungumza wakati wa kikao cha Kamati ya Ushauri ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi kilichohusisha Makatibu Wakuu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya sensa ya watu na makazi ya tarehe 23 agosti, 2022, kikao kilifanyika katika ukumbi wa hoteli ya Verde Zanzibar. Mtakwimu Mkuu Zanzibar Bw. Salum Kassim Ali akizungumza jambo wakati wa kikao hicho, kushoto ni Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt. Albina Chuwa. Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula akichangia hoja wakati wa kikao hicho. Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora Dkt. Laurean. Ndumbaro akifafanua jambo katika kikao hicho. Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Allan Kijazi akizungumza wakati wa kikao hicho. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo Bw. Tixon Nzunda akizungumza wakati wa kikao hicho. Wajumbe wa Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi wakifuatilia hoja katika kikao hicho. Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Greyson Msingwa akieleza jambo wakati wa kikao hicho. Wajumbe wa kikao cha Kamati ya Ushauri ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi wakifuatilia kikao hicho. Meneja TEHEMA Ofisi ya TAKWIMU Bi. Mwanaidi Mahiza akiwasilisha mada wakati wa kikao hicho. Post Views: 501 Continue Reading Previous Mageuzi makubwa ya kilimo ndio yatakayowainua wananchi wa kibakweNext NIC yaibuka mshindi wa kwanza maonesho 46 ya Sabasaba More Stories Habari GreenFaith yatoa mapendekezo yake mkutano wa mission 300 kwa Wakuu wa nchi,Serikali za Afrika January 31, 2025 Penina Malundo Habari Mwenyekiti UVCCM ataka wakandarasi kuwa na weledi ujenzi wa miradi January 31, 2025 zena chitwanga Habari RC Mrindoko aweka kambi Njombe kujifunza kutomeza udumavu wa watoto January 31, 2025 zena chitwanga
More Stories
GreenFaith yatoa mapendekezo yake mkutano wa mission 300 kwa Wakuu wa nchi,Serikali za Afrika
Mwenyekiti UVCCM ataka wakandarasi kuwa na weledi ujenzi wa miradi
RC Mrindoko aweka kambi Njombe kujifunza kutomeza udumavu wa watoto