Na Mwandishi wetu, Timesmajira
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi,Dkt.Pindi Chana(Mb) akiwa ameongozana na Naibu Waziri, Dunstan Kitandula (Mb) pamoja na Wakurugenzi mbalimbali kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Taasisi zake kukagua maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Siku ya Upandaji Miti Kitaifa inayotarajiwa kufanyika Machi 21,2025 Mkoani Njombe.


More Stories
Vyombo vya ulinzi na usalama Mbeya,Benki kuu kushirikiana kutatua changamoto za utapeli mtandaoni
Polisi Mbeya kuimarisha ulinzi kuelekea sikukuu ya Pasaka
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an