Na Mwandishi wetu, Timesmajira
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi,Dkt.Pindi Chana(Mb) akiwa ameongozana na Naibu Waziri, Dunstan Kitandula (Mb) pamoja na Wakurugenzi mbalimbali kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Taasisi zake kukagua maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Siku ya Upandaji Miti Kitaifa inayotarajiwa kufanyika Machi 21,2025 Mkoani Njombe.


More Stories
NACTVET yawahakikishia wadau, usimamizi thabiti wa ubora wa elimu ya Ufundi na Amali
Wasira awataka Wenyeviti CCM kuiga mfano Mkoa wa Mbeya
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali,yajizatiti kuboresha uwezo wa Mawakili wa Serikali