Na Mwandishi wetu, Timesmajira
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi,Dkt.Pindi Chana(Mb) akiwa ameongozana na Naibu Waziri, Dunstan Kitandula (Mb) pamoja na Wakurugenzi mbalimbali kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Taasisi zake kukagua maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Siku ya Upandaji Miti Kitaifa inayotarajiwa kufanyika Machi 21,2025 Mkoani Njombe.



More Stories
TAMWA yakumbusha jamii kupinga ukatili wa kijinsia kuelekea siku ta wanawake Duniani
Wanawake washauriwa kuchangamkia fursa za uchumi
Aida:Wanawake wakipata haki zote itapunguza migogoro