Wafanyakazi wa Chennai fertility centre and research (CFC) Wakiwa na daktari bingwa wa maswala ya Watoto wa kupandikiza Dr. Guatham Hanji, wakiwa katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya biashara (Sabasaba), wakiwakaribisha wananchi wote kutembelea katika Banda lao kupata huduma za afya ya uzazi (Test tube Babes) Maonesho hayo yalianza tarehe 1/7 na kumalizika tarehe 13/7 mwaka huu. (Picha na Mpiga picha wetu)
More Stories
Boshe:ALF imekutana kutambua Maendeleo Endelevu ya Bara la afrika
Kikwete:Afrika yazidi kusonga mbele,mafanikio kuanza kuonekana
Diwani awapa bima za afya watoto wa mahitaji maalum