Wafanyakazi wa Chennai fertility centre and research (CFC) Wakiwa na daktari bingwa wa maswala ya Watoto wa kupandikiza Dr. Guatham Hanji, wakiwa katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya biashara (Sabasaba), wakiwakaribisha wananchi wote kutembelea katika Banda lao kupata huduma za afya ya uzazi (Test tube Babes) Maonesho hayo yalianza tarehe 1/7 na kumalizika tarehe 13/7 mwaka huu. (Picha na Mpiga picha wetu)
More Stories
Huduma Hospitali ya Benjamin Mkapa zinashawishi kuwa ya Taifa
Mchango wa sekta ya madini kwenye pato la Taifa waongezeka hadi asilimia 9.0
Wizara ya Nishati yajivunia jitihada katika kulinda haki, usawa na kuwawezesha wanawake