Wafanyakazi wa Chennai fertility centre and research (CFC) Wakiwa na daktari bingwa wa maswala ya Watoto wa kupandikiza Dr. Guatham Hanji, wakiwa katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya biashara (Sabasaba), wakiwakaribisha wananchi wote kutembelea katika Banda lao kupata huduma za afya ya uzazi (Test tube Babes) Maonesho hayo yalianza tarehe 1/7 na kumalizika tarehe 13/7 mwaka huu. (Picha na Mpiga picha wetu)
More Stories
Yas yazidi kuboresha huduma sekta ya Utalii
ZOLA yajipanga kupeleka Nishati Safi kwa Watanzania, yaunga Mkono Juhudi za Rais Samia
Kiongozi wa Mwenge awataka RUWASA kukamilisha mradi wa maji kwa wakati Kilindi