Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Mhe. Simon Sirro amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Mhe. Emmerson Mnangagwa, Ikulu Zimbabwe.

Julai 20, 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alimteua aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe.

More Stories
Maonesho ya 49 ya Sabasaba kuanza kufanyika Juni 28
Upanuzi wa Kituo cha Kupoza Umeme Mbagala mbioni kukamilika
EWURA yaombwa kuongeza elimu kuhusu nishati safi ya kupikia