Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Mhe. Simon Sirro amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Mhe. Emmerson Mnangagwa, Ikulu Zimbabwe.
Julai 20, 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alimteua aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe.
More Stories
Kariakoo Festival yafunguliwa, NMB yaahidi udhamini mnono zaidi 2025
Viongozi wa Dini Mkalama waaswa kutoa elimu ya uchunguzi
LATRA yarejesha huduma za usafiri kwa mabasi sita ya Katarama