Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu, Bw. Amos Lengael Nnko, ameaga Dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Same, mkoani Kilimanjaro. Ajali hiyo ya gari imepelekea kifo cha binti yake, Maureen Nnko, huku mke wake, watoto wawili na mwanafamilia mmoja wakipatiwa matibabu katika hospitali ya KCMC na Mawenzi.

More Stories
Tanzania Kuadhimisha Siku ya Wachangia Damu Duniani Juni 14, 2025
Prof. Mapesa (MNMA) amewataka viongozi wa (MASO) 2025/26 kuwa viongozi bora
Serikali kuendelea na utoaji mafunzo ya Mtaala ulioboreshwa kwa walimu wote