Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu, Bw. Amos Lengael Nnko, ameaga Dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Same, mkoani Kilimanjaro. Ajali hiyo ya gari imepelekea kifo cha binti yake, Maureen Nnko, huku mke wake, watoto wawili na mwanafamilia mmoja wakipatiwa matibabu katika hospitali ya KCMC na Mawenzi.

More Stories
Khimji kumchangia Zungu fomu ya Ubunge
Mulugo atoa rambirambi familia nne zilizopoteza wapendwa kwa ajali
Kikwete aahidi msaada kwa mwekezaji mwenye ulemavu Mbozi