Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu, Bw. Amos Lengael Nnko, ameaga Dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Same, mkoani Kilimanjaro. Ajali hiyo ya gari imepelekea kifo cha binti yake, Maureen Nnko, huku mke wake, watoto wawili na mwanafamilia mmoja wakipatiwa matibabu katika hospitali ya KCMC na Mawenzi.

More Stories
Benki ya CRDB kabla na baada ya mwaka 1996
TCM,VETA zasaidia vijana 1500 kufanya kazi migodini
FMF:Taifa bado linahitaji elimu masuala ya afya ya uzazi