Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu, Bw. Amos Lengael Nnko, ameaga Dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Same, mkoani Kilimanjaro. Ajali hiyo ya gari imepelekea kifo cha binti yake, Maureen Nnko, huku mke wake, watoto wawili na mwanafamilia mmoja wakipatiwa matibabu katika hospitali ya KCMC na Mawenzi.

More Stories
EWURA kinara uhusiano mwema na vyombo vya habari nchini
TANESCO yaibuka kinara tuzo za ubora za Mawasiliano na Uhusiano kwa umma 2024
Taasisi za uhifadhi zatakiwa kulinda maeneo ya hifadhi kwa teknolojia